6 Aprili 1994 - Rais wa Rwanda Juvénal Habyarimana na Rais wa Burundi Cyprien Ntaryamira wanafariki katika ajali ya ndege muda mfupi kabla ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Kigali nchini Rwanda wakitokea Dar es Salaam, Tanzania. Siku iliyofuata tarehe 7 Aprili, 1994 mauaji ya kimbari (genocide) yalianza. Zaidi ya Watusi 800,000 na Wahutu wa msimamo wa wastani waliuawa katika mapigano hayo yaliyodumu kwa takriban siku 100.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni